Elimu ni chombo chenye nguvu kinachofungua milango ya mafanikio, lakini changamoto za kifedha mara nyingi huwafanya vijana katika bara la Afrika kuwa na ugumu wa kuendeleza masomo ya ngazi ya juu.

Elimu ni chombo chenye nguvu kinachofungua milango ya mafanikio, lakini changamoto za kifedha mara nyingi huwafanya vijana katika bara la Afrika kuwa na ugumu wa kuendeleza masomo ya ngazi ya juu.
Kusimamia fedha zako ni sehemu muhimu ya kufikia uthabiti na mafanikio, hasa kwa vijana.
Ikiwa madeni yatasimamiwa ipasavyo yanaweza kuwa na msaada mkubwa katika hali ya mtu ya kifedha, lakini yanaweza kuwa mzigo ikiwa hayatashughulikiwa.
Kujifunza jinsi ya kutumia pesa zako kwa busara ni moja ya mambo muhimu sana maishani.
Kukabiliana na soko la ajira lenye ushindani kunaweza kuwa changamoto, hasa kwa vijana barani Afrika wanaotafuta kazi yao ya kwanza au kujaribu kubadilisha taaluma.
Katika ulimwengu unaozidi kuwa wa kidigitali, teknolojia inawapita vijana wa Afrika fursa nyingi kwa ajili ya ukuaji binafsi na wa kitaaluma.